Uzinduzi Wa mradi Wa Ustahimilivu Wa Mabadiliko ya Tabianchi Mkoa Wa Kigoma unazinduliwa Leo Na Mheshimiwa Masauni Waziri ofisi ya Makamu Wa Rais Muungano Na Mazingira. Ambaye Kwa niaba yake amezindua mkuu Wa Mkoa Wa Kigoma.
Uzinduzi Wa mradi Wa Ustahimilivu Wa Mabadiliko ya Tabianchi Mkoa Wa Kigoma unazinduliwa Leo Na Mheshimiwa Masauni Waziri ofisi ya Makamu Wa Rais Muungano Na Mazingira. Ambaye Kwa niaba yake amezindua mkuu Wa Mkoa Wa Kigoma.